JAVA

Saturday, October 3, 2015

HAYA NDIYO MAJINA YA WASANII WA AFRICA YALIOTAJWA KWENYE TUZO ZA MOBO


Tuzo za 20 za MOBO zinazofanyika Uingereza zimetoa majina ya wasanii wanao wania vipengele tofauti. Wasanii kutoka Nigeria na Ghana wametawala kipengele hicho huku
msanii aliyechukua tuzo hio mwaka janaFuse ODG Aliwa juu kabisa ya orodha hio.
Mwaka huu tuzo hizi zitafanyika Leeds Uingereza kwenye ukumbi wa Direct Arena jumatano ya November 5, 2015.
Best African 
Fuse ODG
Davido
Wizkid
Patoranking
Moelogo
Yemi Alade
Aka
Mista Silva
Shatta Wale
Silvastone

No comments:

Post a Comment