JAVA

Saturday, January 19, 2013

TOP LEE RAMA AULA KATIKA BONGO MUV..........KUFANYA KAZI NA OMOTARAJERAD

 Msanii chipukizi katika ulimwengu wa muvi tz Top lee Rama amepata nafasi ya kufanya kazi na msanii wa Nigeria mdada ambae ni mke wa rubani mchini humu Otterajerad.Akizungumza na mimi Hancy vipaji katika kipindi cha Vipaji Twenty amesema amepata nafasi hiyo baada ya mdada huyo kuona kazi yake..........SHAVU HIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

No comments:

Post a Comment